Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakyembe kushuhudia mabadiliko Simba

Saturday , 2nd Dec , 2017

Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe atakuwa mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika kesho.

Mkutano huo mkuu maalum wa klabu utakuwa na Agenda moja tu ambayo ni kumtangaza mzabuni aliyeshinda kumliki sehemu ya klabu kupitia mfumo wa hisa ambao utaanza kutumika kuendesha klabu hiyo.

Taarifa iliyotolewa leo na klabu hiyo imeeleza kuwa, “Kwenye mkutano huu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe anatarajiwa kuwa mgeni rasmi”.

Simba tayari imeshapitia hatua mbalimbali za ubadilishaji wa uendeshaji na umiliki wa klabu ambapo serikali na shirikisho la soka nchini TFF vimebariki mabadiliko hayo kwa manufaa ya maendeleo ya soka nchini.

Mkutano huo maalum utafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam na historia itaandikwa kwa mara ya kwanza katika soka la Tanzania.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90