
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia uzinduzi wa mashindano ya Paralimpiki
Mwishoni mwa wiki watu wengi walinunua katika kituo cha michezo hiyo, si zaidi ya wiki mbili baada ya waandaji kutangaza kupunguza bei kwa sababu ya hali mbaya ya kiuchumi iliyosababishwa na mauzo mabaya ya tiketi.
Kuongezeka kwa mauzo kumetokana na bei nafuu na matangazo.