Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hamilton na Vettel wapigwa chini 'Formula One'

Saturday , 26th May , 2018

Waendesha magari Lewis Hamilton wa Mercedes na Sebastian Vettel wa Ferrari watalazimika kuanzisha gari zao katika nafasi ya pili na tatu, kwenye mbio za MonacoGP kesho, baada ya Daniel Ricciardo wa Red Bull kushinda nafasi ya kwanza.

Daniel Ricciardo ameongoza mbio za majaribio katika mitaa ya jiji la Monaco jioni hii, hivyo kesho kwenye mbio kuu katika mji huo, gari yake itakuwa ya kwanza akifuatiwa na Vettel aliyeshika nafasi ya pili.

Muingereza Lewis Hamilton ambaye ndio mshindi wa mbio zilizopita za Hispania katika jiji la Barcelona atapanga gari yake katika nafasi ya tatu. Nafasi ya nne imeshikiliwa na Dereva mwingine wa timu ya Ferrari Kimi Raikkonen.

Dereva mwingine wa timu ya Red Bull, Max Verstappen, amepata ajali kwenye mbio hizo za majaribio, hivyo kushindwa kuendelea lakini kampuni yake imeahidi kushughulikia gari yake ili kesho aweze kushiriki Monaco Grand Prix.

'Formula One' maarufu kama Langalanga, zipo kwenye mji wa 6 kati ya 21 ya msimu huu. Hadi sasa msimamo unaongozwa na Mercedes kupitia kwa Hamilton mwenye alama 95 akifuatiwa na timu ya Ferrari kupitia kwa Vettel mwenye alama 78.

HABARI ZAIDI

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP