
Nyota wa NBA, Lebron James (kushoto) na Stephen Curry (kulia)
Kila wiki tunatarajia kuonesha mechi mbili, na mechi ya kwanza ambayo tutaanza nayo Jumapili hii, itaanza saa 5 usiku kati ya Golden State Warriors na Brooklyn nets .
Endelea kutazama EATV, kusikiliza East Africa radio na kufuatilia mitandao yetu ya kijamii ili kupata taarifa zaidi.