
staa wa muziki wa Hip Hop anayetokea Arusha Fido Vato
Rapa huyo mkali wa mistari amewaweka wazi mashabiki wake kuwa njia hiyo itawasaidia kufikia mashabiki wengi zaidi.
Fido ameiambia eNewz kuwa, mkakati huo tayari umekwishaanza na ana imani kubwa kuwa studio hiyo ikishakamilika, kazi zao nyingi zitakuwa zikifanyika hapa jijini na hivyo kuwafikia mashabiki kwa ukaribu zaidi.
