
Meneja Said fella almaarufu kama Mkubwa na wanawe
Said Fella ambaye ni mgombea wa nafasi ya udiwani wa kata ya Kilungule ambaye hivi sasa ameweka makazi yake huko, ameiambia enewz kuwa ni muhimu kuilinda amani kwani yawapasa watanzania wote kuweka kando suala la itikadi ya vyama pinzani huku akiwasihi watanzania wote kupiga kura kwa amani na utulivu.
