
Nuh Mziwanda ameandika ujumbe katika ukurasa wake wa Instagram ambao unatafsiriwa kama amebeza ndoa hiyo.
Mpenzi huyo wa Zawadi wa Shilole, Nuh Mziwanda ameandika,
"Aliyelala na bibi harusi wiki moja kabLa ya harusi’, na wala sio bwana harusi bado mnanishauri harusi, (all girls are pretenders )."
Siku chache zilizopita Shilole alisisitiza kuwa atafunga ndoa kabla ya mwaka huu kuisha japo watu walimbeza, hayawi hayawi yamekuwa.