![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2015/12/21/4.jpg?itok=NMPsdWHj×tamp=1473315932)
Navy Kenzo
Nahreel amesema kuwa, kazi zao zinatekelezwa kama timu na ili kuepusha kuzingwa na majukumu, kazi yao ikibakia kuwa ni (ku-supervise) kufuatilia kuhakikisha kila kitu kinaenda kama ilivyopangwa.
Katika stori na eNewz, Nahreel amesema kuwa, huo ni mkakati wao kuhakikisha kuwa mbali na biashara ya muziki wanayofanya, wananyanyua vipaji pia.