.jpg?itok=g6kwb5o1×tamp=1544701560)
Taarifa za ndoa hiyo zimewekwa wazi na Nahreel kwenye ukurasa wake wa instagram wakati akisheherekea siku yake ya kuzaliwa, akiwa pamoja Aika mjini Cairo nchini Misri, kwa kuandika ujumbe uliosomeka wazi kuwa harusi yao itafungwa hivi karibuni.
Aina na Nahreel wapo kwenye mahusiano zaidi ya miaka 7 sasa, ambapo katika uhusiano wao wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume anayejulikana kwa jina la Gold, ambaye ametimiza mwaka mmoja hivi karibuni.