
Kala Jeremiah
Kala ameeleza kuwa, anaamini isingekuwa muziki angebakia katika upande wa mchezo huo ambao ana uhusudu mpaka sasa akiwa amebaki kama shabiki akiwa anacheza mchezo huo kwa kujifurahisha tu mtaani.
Kala ambaye kwa sasa anatamba na kazi yake mpya inayokwenda kwa jina Malkia, ameeleza pia kuwa timu ya mchezo huo ya kimataifa ambayo anaihusudu ni Los Angeles Lakers kutoka Marekani, akiwa anamuelewa sana supastaa wa kimataifa wa mchezo huo, Kobe Bryant.
