Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lordeyes ajivika Ufalme

Wednesday , 28th Jun , 2017

Rapa Lordeyes Mweusi wa N2N, amedai toka alipoamua rasmi kurudi kwenye game ya muziki wa hip hop atakuwa anaachia mikwaju mfululizo ili kuwapa tiba mashabiki wake ambao walikosa muziki mzuri kutokana na  kukosekana kwa mrithi wa nafasi yake.

Rapa Lordeyes

Leo wakati akitambulisha ngoma yake mpya  kwa mara ya kwanza ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio 'Manyota wa Mtaa', Lordeyes amesema kwamba anatambua ni jinsi gani mashabiki wanaugua kwa kukosa muziki mzuri kwani hakuna mtu aliyeweza kuziba pengo lake hata baada ya kukaa muda mrefu nje ya game.

"Najua watu wangu walikosa ile ladha ya  'African hip hop' ambayo tunayo wachache sana. Kiti changu ni kama cha Albert Mangwea yaani tangu alipoondoka wamepita kujaribu kuziba pengo lake na imeshindikana,  Sasa kwa upande wangu nmerudi kwenye kiti maana watu walishindwa kutumia fursa wakati nipo nje ya game sasa nimerudi mwenyewe. Mashabiki zangu najua jinsi ya kuponya ugonjwa wao yaani kazi juu ya kazi tutaenda sawa tu, najua tiba yao.

Aidha Lordeyes amewasihi mashabiki zake wasikate tamaa kwani ladha za hip hop za Afrika wanazozisikia kutoka kwa wasanii wa kimataifa kama Sarkodie na wengine watazisikia mfululizo kutoka kwake.

Loreyes ameachia ngoma aliyomshirikisha mnako mwenzake G Nako huku Bugalee akiwa ndiyo mpishi wa wimbo huo uliopewa jina la Manyota wa Mtaa.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90