![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/2014_11$largeimg208_Nov_2014_100628360.jpg?itok=y453i9C0×tamp=1472576452)
msanii wa muziki wa Uganda Desire Luzinda
Desire ambaye kufuatia hatua yake hii tayari amezua mitazamo tofauti kutoka kwa mashabiki wake, lakini amewataka watu kufahamu kuwa, kuna nguvu kubwa katika ulimi wake, na kuwataka kuwa makini na kile wanachokisema na kukaa tayari kwa rekodi hiyo kali.
Desire anakuwa si msanii wa kwanza kufanya hatua kama hiyo kutoka Uganda, ambapo tayari msanii Bebe Cool, Jose Chameleone, Juliana Kanyomozi na Grace Nakimera wamekwishafanya ngoma za aina hiyo.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Luzinda-20140426-010603_0.jpg?itok=k6F8TAFY)