![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/desire.jpeg?itok=UxFMMGm0×tamp=1472227334)
Desire Luzinda
Dezire ametajwa kudaiwa kiasi cha shilingi milioni 12 za Uganda na bendi hii, pesa ambazo anasita kuzitoa katika mfuko wake mwenyewe kwa kuhofia hasara endapo onyesho lenyewe litabuma.
Imeelezwa kuwa, kwa sasa msanii huyu anatafuta njia za kuweka mambo sawa ili asishushe hadhi yake kupitia onyesho hili ambalo linakuwa ni kubwa kabisa na la binafsi kwake kuandaa kama msanii anayejitegemea.