
Demarco
Demarco amesema kuwa, katika wakati ambapo amekuwa huko Uganda, wasanii anaowasikia na kuwakubali ni hawa wawili tu, kauli ambayo imewashangaza na kuwahuzunisha wengi hususan kutokana na kuwepo kwa wasanii wengi wa nchi hiyo wanaofanya vizuri hasa katika miondoko ya dancehall.
Demarco anatarajiwa kudondosha onesho la aina yake leo hii huko Uganda, hasa kutokana na yeye na timu yake kutumia muda mrefu kujipanga kwaajili ya tukio hili kubwa.