Saturday , 20th Jun , 2015

Star wa muziki AY, ameweka wazi mkali anayemhusudu kwa upande wa game ya muziki kimataifa akiwa ndio kama muongozo wake katika kila ambacho star huyo anakifanya na kuwa mfano bora wa wasanii wengi wa muziki hapa Bongo.

AY

Katika stories na AY, bila kuzungusha maneno mkali huyo ameeleza kuwa Dr Dre ndiye nyota anayemhusudu, kuanzia aina ya maisha ambayo anaishi, vilevile harakati zake katika muziki, ikiwepo kusaidia vipaji mbalimbali kufikia ndoto zao, wakiwepo wasanii wakubwa kama Snoop Dogg, Eminem, 50 Cent na wengineo.

AY kuhusiana na hili hapa anaeleza mwenyewe kwa undani zaidi.

Tags: