Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (kulia) akimpatia cheti Mhandisi anayedhibiti ubora na viwango kutoka GGML, Maftah Seif kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika ushiriki wa Kongamano la 32 la Taasisi ya Wahandisi Tanzania lililofanyika mwisho mwa wiki jijini Arusha. GGML ambayo ilikuwa moja ya wadhamini wa kongamano hilo, wahandisi wake 16 pia walishiriki.

4 Dec . 2023

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati akiaga miili ya waliofariki kutokana na maporomoko ya tope mkoani Manayara

4 Dec . 2023