Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yazipinga kanuni za SUMATRA

Wednesday , 15th Nov , 2017

Serikali imefikia uamzi wa kusitisha kuanza kutumika kwa kanuni za leseni ya usafirishaji na kukiri kuwepo kwa mapungufu ya wazi ambayo yanahitaji marekebisho ili kuondoa kasoro zinazoweza kumuonea mmiliki wa chombo husika.

Uamzi huo umefikiwa leo kwenye mkutano wa wamiliki wa vyombo vya usafiri na Naibu waziri wa Uchukuzi na mawasiliano Atashasta Nditiye ambao kwa pamoja wamekubaliana kusitisha kuanza kutumika kwa kanuni hizo ili kuzipitia upya na kuondoa mapungufu.

Moja ya mapungufu ambayo Naibu waziri amekiri kwamba yapo kwenye kanuni hizo ni pamoja na kanuni ambayo inaeleza mmiliki wa gari kutozwa faini ya hadi ya shilingi laki mbili na nusu kwa makosa ya dereva.

Aidha Nditiye amedai kuwa ni kweli kanuni hizo zilizotolewa na mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA, zingeleta changamoto katika uendeshaji wa vyombo vya moto. Waziri Nditiye ameagiza kufanyika marekebisho ya kanuni hizo hadi kufikia Desemba 1 mwaka 2017.

Kanuni hizo zilipaswa kuanza kutumika hivi karibuni hali ambayo ilipelekea wamiliki wa vyombo vya usafiri kutangaza azima ya kuitisha mgomo kwa madai ya kutosikilizwa kila mara wanapotoa maoni yao juu ya kanuni hizo za usafirishaji.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90