Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rushwa ndio chanzo cha migogoro ya Ardhi nchini

Saturday , 6th Dec , 2014

Imeelezwa kuwa rushwa ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi inayoendelea hapa nchini kwa mamlaka zinazohusika kutotimiza majukumu yake ipasavyo kwa kudai rushwa kwa watu wanaowahudumia.

Rais wa Chama cha Mawakili nchini, Charles Rwechungura .

Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa Chama cha Mawakili nchini, Charles Rwechungura kwenye uzinduzi wa wiki ya msaada wa kisheria iliyozinduliwa katika viwanja vya mwalimu Nyerere mkoani Dodoma.

Rwechungura amesema iwapo mamlaka husika zinazoshughulika na masuala ya ardhi zitatimiza majukumu yake ipasavyo madai yaliyoko katika mahakama mbalimbali nchini yatapungua kwa kuwa mashauri mengi yaliyoko mahakamani yanahusiana na ardhi.

Kwa upande wake mwakilishi wa mwenyekiti wa chama cha mawakili nchini Grace Dapa, amewataka mawakili kuwafikia wananchi walioko vijijini ambao wanahitaji msaada mkubwa wa kisheria kwa kuwa mawakili wengi wako mijini na kuwasahau watu wa vijijini ambao hawajui kama kuna watu wa kuwasaidia pindi wanapohitaji msaada wa kisheria.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90