Rais Magufuli
Awali nafasi aliyoteuliwa Bw. Nduguru ilikuwa wazi.
Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema kwamba Nduguru alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Kufuatia Uteuzi huo Rais Magufuli amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Mbibo alikuwa Meneja wa TRA mkoani Kilimanjaro.
Hata hivyo imeeelezwa kwamba, uteuzi wa viongozi hao unaanza mara moja leo Tarehe 31, Machi 2019




