
Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jioni ya leo imeeleza kuwa Rais Magufuli amemteua Bi. Monica Ngezi Mbega kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mazao Mchanganyiko kuanzia Novemba 30, 2017.
Wengine walioteuliwa ni kama wanavyoonekana kwenye taarifa hiyo hapo chini ambayo ina majina yao pamoja na bodi wanazokwenda kuzitumikia.