
Jesca ambaye amesema hakuwa na taarifa za mume wake kujiuzulu uanachama mpaka alipofanya hivyo, ameeleza kwamba kitendo cha mume wake kusema anaondoka CHADEMA kwa sababu upinzani hawana nia ya kupambana na ufisadi ni uongo, na kumtaka awe mkweli.
Tazama video yote hapa chini