
Jengo la Mamlaka ya Mapato nchini Kenya (KRA).
Kampuni hiyo ya Jamil Trading Ltd imesema kuwa haijatenda kosa lolote na kwamba imeshalipa kodi zote zilizodaiwa na Mamlaka ya Mapato Kenya.
Shitaka hilo kwa KRA limefunguliwa na kampuni ya uwakili ya Wameyo Onyango & Associates Advocates, ambayo imesema mteja wake anaendelea kupata hasara kwa uonevu wa KRA.