Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kuumizwa kwa watu sio suala la NEC"- Jaji Kaijage

Saturday , 17th Feb , 2018

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Semistocles Kaijage amefunguka na kudai vurugu zilizoweza kujitokeza jana katika Jimbo la Kinondoni wao hawausiki kwa lolote kwa kuwa sio kazi yao kulinda usalama.

Jaji Kaijage amesema hayo leo wakati alipokuwa akitembelea vituo vya uchaguzi katika Jimbo la Kinondoni na kusema shughuli ya upigaji kura katika majimbo ya SIha na Kinondoni yanaendelea vizuri mpaka hivi sasa.

"Suala la vurugu zilizotokea jana katika jimbo la Kinondoni hilo sio suala la tume. Usalama wa wananchi lipo ndani ya vyombo vya kiusalama na kama mnavyojua katika maadili ya uchaguzi suala la ulinzi na usalama, amani na utulivu jukumu hilo limepewa serikali", amesema Jaji Kaijage.

Pamoja na hayo, Jaji Kaijage ameendelea kwa kusema "kama lilitokea la watu kuumizwa au mtu kuuwawa basi nadhani vyombo husika vya serikali vitakuwa vinatimiza wajibu wake kuweza kulilishughulikia".

Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi wa Kinondoni (Jana) lilitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa (CHADEMA) waliokuwa wakiandamana kuelekea katika ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni kwa kile kinachodaiwa Mawakala wao walikuwa hajapewa barua za kuwatambulisha licha ya kuwa waliapishwa toka siku tano zilizopita

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90