Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kiswahili chaongoza Africa

Friday , 25th May , 2018

Ikiwa leo ni siku ya Afrika, lugha za asili za Afrika nazo zimepigiwa chepuo ya kuwa chachu ya maendeleo na ukuaji wa uchumi miongoni mwao ni lugha ya Kiswahili ambayo barani Afrika pekee inaongoza kwa kuzungumzwa na watu wengi zaidi, huku idadi ikitajwa kuwa ni zaidi ya watu milioni 200.

Akizungumzia nafasi ya lugha hiyo katika kuchagiza maendeleo barani humo, Profesa Aldin Mutembei wa Taasisi ya Taaluma za lugha ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, TATAKI amesema hilo linawezekana iwapo vijana watapatiwa fursa ya kusoma masomo ya sayansi na teknolojia kwa lugha yao hiyo ya asili.

"Mpaka sasa tayari chuo kikuu kimeshaandika vitabu kadhaa vya masomo ya sayansi kwa lugha ya kiswahili ambavyo vinaweza kuingizwa katika mitaala ya elimu ya sekondari ili kutumika kwa ajili ya kufundishia",amesema Prof. Mutembei.

Aidha Prof. huyo ameongeza kuwa ingawa baadhi ya waswahili wanapuuza matumizi ya lugha ya kishwahili katika fani mbalimbali zinazohusu teknolojia lakini kuna baadhi ya nchi zimeanza kupiga hatua katika ufundishaji wa lugha hiyo ambazo zinaelekea kuwa na wabobezi wa lugha ya kiswahili.

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90