Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hamad Rashid awataka wanasiasa kusema kweli

Sunday , 20th Aug , 2017

Chama cha Alliance for Democratic Change ADC kimeadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwake huku kikiwataka wanasiasa nchini kuwa wakweli na kuendelea kudumisha amani badala ya kutoa kauli na ahadi ambazo zina mwonekano wa kutaka kuleta mpasuko.

Mwenyekiti wa Taifa wa ADC ambaye pia ni Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid Mohamed, ametoa rai hiyo leo jijini Dar es Salaam ambapo amesema kauli za uchochezi zenye kuweza kulewa mpasuko ndani ya chama chake hazikubaliki.

Kauli hiyo Mhe. Rashidi  imedhaniwa kuwa huenda ikawa inamlenga Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ambaye mara kadhaa amenukuliwa akiahidi kushika wadhifa wa Rais wa Zanzibar.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa ADC Bw. Doyo Hassan Doyo, amevitaka vyama vingine vya upinzani kujenga tabia ya maridhiano pamoja na kusameheana, kama njia ya kumaliza migogoro inayoendelea ndani ya vyama hivyo, kama ambavyo ADC imefanya hivi karibuni kwa kuwasamehe wanachama wake ambao walifukuzwa uanachama miaka michache iliyopita.

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90