Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC aagiza ng'ombe kuvishwa hereni

Wednesday , 11th Jan , 2017

Mkuu  wa  Wilaya ya Arusha Gabriel  Dangalo, amewaagiza wataalamu wa mifugo na kilimo katika  wilaya zote za mkoa wa Arusha, kuhakikisha wanafanya sensa ya kutambua idadi ya mifugo na kuivalisha hereni.

Ng'ombe

Dangalo ametoa kauli hiyo kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kwenye  hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuboresha ng’ombe wa maziwa ADGG, uliowahusisha  wafugaji kutoka halmashauri ya Arusha na jiji la Arusha iliyofanyika mkoani hapa.

Amesema maelekezo ya mkoa ni kuhakikisha ng’ombe wote waliopo kwenye wilaya, mkoani hapa, wanaingizwa kwenye mpango wa utambuzi kwa kuvalishwa hereni, chini ya mradi wa kuboresha mradi wa ng’ombe za maziwa wa  ADGG.

Gabriel Daqarro - Mkuu wa Wilaya ya Arusha

Mratibu wa mradi huo Dk. Eliaman  Lyatuu amesema suala la uwekeji hereni za kitaifa kwa ng’ombe wa maziwa kwa ajili ya utambuzi ni mpango mzuri ambao unafanyika kwa nchi mbalimbali duniani na tayari halmashauri ya Arusha na jiji la Arusha, wameshavalisha ng’ombe wa maziwa zaidi ya 300 .

Ameongeza kuwa mpango huo umepokelewa vizuri na wafugaji na utawasaidia kutambua ng’ombe wao hata pale watakapokuwa wanahamisha mifugo kutoka eneo moja kwenda eneo lingine, pia ng’ombe anapopotea ama kuibiwa inakuwa rahisi kumtambua.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90