Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF yaomba suluhu kwa Rais Magufuli

Thursday , 24th May , 2018

Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kimeandika barua rasmi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ili kusaka muafaka wa kisiasa Visiwani Zanzibar.

Kauli hiyo ya CUF imetolewa leo Jijini Mwanza na Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharrif Hamad katika mahojiano maalum yaliyoratibiwa na Umoja wa Vilabu Vya Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) na kurushwa na vituo mbalimbali vya redio na mitandao ya kijamii.

"Mpaka sasa Ikulu bado haijajibu barua hiyo. Licha ya kuwepo kwa miafaka zaidi ya minne kati ya CUF na Chama cha Mapinduzi (CCM), lakini kumekuwa hakuna utashi wa kisiasa katika kusaka muafaka wa moja kwa moja kuhusu tofauti za kisiasa huko Zanzibar", amesema Maalim Seif.

Maalim Seif amewahi kuhudumu katika nyadhifa mbalimbali Visiwani Zanzibar, ikiwemo ya Waziri wa Elimu kwenye serikali ya Hayati Mzee Aboud Jumbe, Waziri Kiiongozi kwenye serikali ya Mzee Ali Hassan Mwinyi na Makamu wa Kwanza wa Rais kwenye serikali ya Dkt. Ali Mohamed Shein awamu ya kwanza baada ya kufikiwa kwa makubaliano ya kuundwa serikali ya Umoja wa Kitaifa mnamo mwaka 2010.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90