Waziri wa Kazi na Ajira ambae pia alikua anagombania kupitishwa kugombea Jimbo la Tarime Mjini Gaudensia Kabaka akizungumza katika moja ya mikutano na Umoja wa Madereva
Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani nchini, Mohamed Mpinga.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu.
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Anna Makinda.
Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akizungumza na wananchi kwenye viwanja vya Ofisi Ndgo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba.
MWENYEKITI wa CHADEMA Kitaifa, Mh. Freeman Mbowe (wa pili kulia) akiwatambulisha Mgombea wa Urais wa Umoja wa vyama vinne vya upinzani (UKAWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
