Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bavicha wampa JPM sharti hili

Wednesday , 21st Jun , 2017

Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) limedai kwamba Baraza hilo litampongeza Rais John Magufuli endapo vigogo wote waliohusika katika sakata la hilo watafikishwa kwenye vyombo vya dola.

Mwenyekiti wa BAVICHA, Patrobas Katambi

Akiongea na vyombo mbalimbali vya habari leo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema (BAVICHA), Patrobas Katambi amesema kuwa wanapenda kuona ufisadi ukishugulikiwa kikamilifu akitolea mfano hatua zilizochukuliwa katika sakata la akaunti ya Tegeta ESCROW, IPTL na mchanga wa madini Makinikia.

Bavicha wamesema kuwa vita ya ufisadi itakuwa na tija endapo wahusika wote walio husika katika kuingiza taifa kwenye mikataba mibovu watachukuliwa hatua, nakumtaka rais kutowafumbia macho hasa wale waliopo ndani ya chama cha CCM kwani bila kufanya hivyo bado ufisadi utalisumbua taifa.

Pamoja na hayo BAVICHA wamelaani kitendo cha kuwekwa ndani kwa masaa 48 Meya wa Ubungo, Mhe. Boniface Jacob, na kutangaza kumfungulia mashtaka mkuu wa wilaya ya Ubungo ndugu Kisare Makori na kutaja kitendo hicho kama nimatumizi mabaya ya madaraka.

Meya wa Ubungo, Boniphace Jacob

Bwana Katambi amesema kosa analotuhumiwa Jacob limekuwa likifanywa mara kadhaa na viongozi wa CCM kufanya siasa za chama kwenye majengo ya Serikali.

“Si kweli kwamba meya alikuwa anafanya siasa alitembelewa na viongozi wengine wa Chadema akawa anawaonyesha mazingira yake ya kazi, ghafla likaja agizo akamatwe, tunaomba tabia hii ikome na safari hii tutachukua hatua,”amesema Katambi.

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90