Tanzania yapewa bilioni 248 na Benki ya Dunia

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akiwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Nathan Belete

Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia (WB) wamesaini mikataba miwili yenye thamani ya dola za Marekani milioni 104, sawa na takriban shilingi bilioni 248, kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa mradi wa kukuza usawa wa kijinsia nchini Tanzania, maarufu kama "PAMOJA"

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS