Adela ahukumiwa miaka 5 jela kwa kutupa kichanga

Majirani waliona kichanga jalalani na baada ya kufuatilia Adela aligundulika ndio aliyefanya hivyo na alipohojiwa alikiri kwamba alizaa mtoto wa kike na kisha alimuacha jalalani ili asigundulike kama amezaa na aweze kwenda kufanya kazi. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS