
Picha ya msanii Bahati na Hayati Raila Odinga
"Kiwanda/Sekta ya muziki inaboa bila uwepo wa Bahati. Mimi ndio Raila wa Hii Music Industry, ningekuwa siko kungenyamaza sana" - ameandika Bahati kupitia Insta Story yake.
Vipi mtazamo wako anafaa kuwa 'Raila Odinga' wa muziki Kenya?