Mudy na Shila kufungwa maisha kwa ubakaji

Hukumu hiyo ya kesi namba 10468/2025 imesomwa Desemba 01, 2025 na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, Fredrick Shayo baada ya upande wa Mashtaka kuthibitisha kutendwa kwa kosa hilo mnamo Februari 03, 2025 katika maeneo ya barabara ya Halmashauri ya Mlandizi, Kibaha

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS