Kilo 33,077 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imesema katika kipindi cha Mwezi Julai na Septemba 7/ 2025 Mamlaka hiyo imefanikiwa kukamata kilogramu 33,077.613 za dawa za kulevya aina mbalimbali, kilogramu 4,553 za mbegu za bangi pamoja na kuteketeza mashamba ya bangi ekari 64

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS