Kanumba aenziwa kwa kutoa Misaada

Mama Kanumba

Mama wa aliyekuwa msanii mahiri wa filamu Tanzania, Marehemu Steven Kanumba ameadhimisha siku ya Kanumba Day kwa kutoa msaada katika kituo cha CHAKUWAMA Jijini Dar es Salaam, kituo ambacho Marehemu Kanumba alikuwa na utaratibu kusaidia mara kwa mara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS