Nape 'apangua' maswali Kikaangoni

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Nape Nnauye, leo hii amepata nafasi ya kuchat na umati mkubwa wa wapenzi wa ukurasa wa Facebook wa EATV na kuweka sawa madukuduku na maswali yao kibao kuhusiana na maisha yake binafsi pamoja na kisiasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS