Emeka amtishia mwenye nyumba wake

Mwigizaji maarufu wa filamu wa nchini Nigeria Emeka Ike, ametishia kufungua kesi ya madai ya fidia ya Naira bilioni 2 zaidi ya shilingi bilioni 19 za Tanzania kutoka kwa mwenye nyumba wake, kwa ajili ya usumbufu na hasara aliyoipata katika kesi ya madai ya kodi inayoendelea dhidi yao kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS