Abbas kuonyesha sanaa zake

Msanii wa miondoko ya Hip Hop kutoka Kenya, Abbas Kubaff anatarajia kuonyesha sehemu nyingine ya usanii wake, ambapo mwezi ujao atafanya maonyesho makubwa ya kazi za sanaa ya uchoraji kwa kutumia rangi ambazo amezifanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS