Chanzo rushwa polisi ni mishahara duni - Upinzani Mbunge wa Arusha na waziri kivuli wa mambo ya ndani ya nchi, Godbless Lema. Mishahara duni wanayolipwa askari wa jeshi la polisi nchini Tanzania imeelezwa kuchangia kwa kiasi kikubwa askari kujihusisha na vitendo vya kupokea rushwa. Read more about Chanzo rushwa polisi ni mishahara duni - Upinzani