moustapha: Picha yatibua penzi Mapenzi kati ya msanii Colonel Moustapha na mwanadada Huddah Monroe kutoka nchini Kenya, yamepukutika kwa namna yake baada ya Huddah kutangaza kuwa Moustapha si aina ya mtu anayeweza kuwa naye. Read more about moustapha: Picha yatibua penzi