Linex, Jambo Squad wafanya jambo
Msanii wa muziki, Linex Sunday Mjeda, baada ya kusumbua sana katika chati mbalimbali za muziki na ngoma yake ya Kimugina, kwa sasa ameamua kuunganisha nguvu na Jambo Squad kutoka Arusha kupitia kolabo ambayo imesukwa chini ya studio za Noize Makers.