Makocha wa Mpira wa Kikapu waisifu TBF
Siku mbili baada ya kumalizika kwa mashindano ya kutafuta klabu bingwa wa taifa wa mpira wa kikapu nchini Tanzania, baadhi ya makocha waliokuwa wanazinoa timu zao katika michuano hiyo pamoja na wachezaji wamefurahishwa na juhudi za Uongozi mpya