Diamond: Nimelisoma soko la muziki

Msanii Diamond Platinumz, amesema kuwa, kwa sasa baada ya mafanikio makuwa ya remix ya ngoma yake ya My Number One, picha linaendelea ambapo atawazawadia mashabiki wake kolabo nyingine kubwa ya kimataifa hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS