Farenheit kuja na kideo cha matanuzi

Msanii Slim Fahrenheit kutoka wa Jijini Nairobi nchini Kenya, ameweka wazi ujio wa kazi yake mpya ambayo ni kolabo aliyofanya na Prezzo, kazi ambayo amejitapa kuwa, katika kutengeneza video yake, location 1 kwa saa 1, imegharimu 300000Kshs.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS