PAUL OKOYE NAE AAGA UKAPERA

Msanii wa kundi la P-Square Paul Okoye, ameamua kufuata nyayo za pacha wake mkubwa Peter baada ya jana kuamua kufunga pingu za maisha na Mpenzi wake wa siku nyingi, na mama wa mtoto wake, Anita katika harusi ya kitamaduni huko Oga's Land Nigeria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS