Mashali atwaa mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali ameshinda Pambano la kuwania ubingwa wa kimataifa wa UBO, dhidi ya bondia Japhet Kaseba kwa pointi baada ya kutambiana kwa muda mrefu, katika ukumbi wa PTA jijini Dar es salaam hapo jana usiku. Read more about Mashali atwaa mkanda wa UBO