Mashali atwaa mkanda wa UBO

Bondia Thomas Mashali ameshinda Pambano la kuwania ubingwa wa kimataifa wa UBO, dhidi ya bondia Japhet Kaseba kwa pointi baada ya kutambiana kwa muda mrefu, katika ukumbi wa PTA jijini Dar es salaam hapo jana usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS