'Wanatetemeka' Kuachia jumapili hii
Baada ya kuwekeza nguvu nyingi katika kutengeneza video ya ngoma yake kali inayofahamika kwa jina, 'Wanatetemeka' msanii Queen Darlen, hatimaye msanii huyu amepanga kuiachia rasmi kazi hii Jumapili tarehe 6 mwezi huu Jijini Dar es Salaam.