Baadhi ya viongozi wa UKAWA, James Mbatia kutoka NCCR Mageuzi na Freeman Mbowe wa chama cha demokrasia na maendeleo - Chadema
Umoja wa vijana wasomi wa vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko jijini Dar es salaam, wameelezea kufedheheshwa na mwenendo mzima wa Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.