Wasomi wasikitishwa na msimamo wa UKAWA

Baadhi ya viongozi wa UKAWA, James Mbatia kutoka NCCR Mageuzi na Freeman Mbowe wa chama cha demokrasia na maendeleo - Chadema

Umoja wa vijana wasomi wa vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko jijini Dar es salaam, wameelezea kufedheheshwa na mwenendo mzima wa Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS