BARABARA ZAANZA KUPITIKA

Waziri Magufuli akishiriki katika usimamizi wa matengenezo sehemu ya daraja la Kizinga latika barabara ya Kilwa huko Mbagala Kongowe.

Sehemu kubwa ya barabara zilizoathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini zimeanza kupitika. Tangu jana asubuhi tayari magari madogo yalianza kupitia katika eneo la Ruvu mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS