Mkapa asisitiza Elimu kwa Wafugaji

Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamini Mkapa.

Rais  mstaafu   Benjamini  Mkapa   amezishauri  taasisi  za  kitaifa  na  kimataifa   zinazoendesha  shughuli   zao  kwenye   maeneo  ya  wafugaji  kutilia  mkazo   elimu  kwa   watoto  wao  hiyo  kwani   ndio  njia  pekee ya kuwakwamua na uamasikini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS