Miss TZ avutiwa na wanafunzi

Happiness Watimanywa, Miss Tanzania 2013-14

Miss Tanzania, mrembo Happines Watimanywa, amesema kuwa, tangu amelitwaa taji hilo kubwa la urembo hapa nchini mpaka sasa, kitu ambacho kinamgusa sana kukifanya ni namna ambavyo anapata nafasi ya kukutana na wanafunzi na kuzungumza nao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS