Rais aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza

Rais Kikwete akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 18, 2013

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameunda Tume ya Uchunguzi (Commission Inquiry) Kuhusu Vitendo vilivyotokana na Uendeshaji wa Operesheni Tokomeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS