Ulinzi waimarishwa mechi ya Simba vs Yanga

Kamishna Suleiman Kova akiongea na Waandishi wa habari

Katika kuhitimisha ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limetangaza kuimarisha Ulinzi katika mchezo kati ya Simba na Dar es salaam Young Africans maarufu kama Yanga Mchezo utakaopigwa siku ya Jumamosi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS